Friday, August 30, 2019

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA SHIRIKISHO LA KIMATAIFA LA HUDUMA ZA ANGA NA UONGOZAJI NDEGE #CANSO KANDA YA AFRIKA


Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Hamza S. Johari


Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano wa Shirikisho la Kimataifa la Huduma za Anga na Uongozaji Ndege #CANSO kanda ya Afrika. Zaidi ya wajumbe 200 wanatarajiwa kushiriki mkutano huo wa siku tano, utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNICC), kuanzia Septemba 3 hadi 6, 2019.


0 comments:

Post a Comment

DIRECTOR GENERAL

Please Share This Site