Monday, September 16, 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZINDUA RADA MBILI ZA KUONGOZEA NDEGE ZA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE NA UWANJA WA NDEGE WA KIA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi mbalimbali akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Rada mbili za kuongozea Ndege katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere na Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa KIA katika Sherehe zilizofanyika katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria uzinduzi wa Rada mbili za kuongozea Ndege katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere na Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa KIA katika Sherehe zilizofanyika katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Viongozi wengine kwenye picha ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe, Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari pamoja na Balozi wa Ufaransa hapa nchini Fredrick Clavier. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kabla ya kuzindua mfumo wa Rada za kuongozea Ndege katika kituo cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere

Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari  akielezea utekelezaji wa mradi kabla ya uzinduzi





Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi ya hafla hiyo


0 comments:

Post a Comment

DIRECTOR GENERAL

Please Share This Site