Wednesday, December 11, 2019

KIKAO CHA KUPITIA MAOMBI YA LESENI ZA UENDESHAJI BIASHARA YA USAFIRI WA ANGA




Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga nchini, wakishiriki kikao cha kupitia maombi ya leseni za uendeshaji biashara ya Usafiri wa Anga, Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Banana Ukonga. Kampuni zimeshiriki kuleta maombi ya kupewa leseni za kuendesha biashara ya Usafiri wa Anga. Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi TCAA, Prof.Longinus Rutasitara.

0 comments:

Post a Comment

DIRECTOR GENERAL

Please Share This Site